Jumatatu, 30 Januari 2017

habari za hivi punde

Ana andika Elias mhegela.
TWENDE TARATIBU TUSITUKANANE, TUSIBURUZANE, TUSIKASHIFIANE...
Ni kwamba watu wengi tunaoandika habari iwe ni magazetini au mitandaoni tuna nia njema na nchi yetu Tanzania. Lakini katika siku za hivi karibuni umeibuka mtindo wa watu wasio na staha kutukana wenzao mitandaoni.
Habari za uhakika ambazo nimezipata kidukuzi wafanyao hivyo wapo kwenye payroll sehemu fulani. Habari niliyofahamishwa ni kwamba hao waliojigeuza kuwa ‘vijibwa koko’ wanalipwa sh...